Culture
Boti ya Abria Mbuya Nehanda Yazama na Kusababisha Vifo vya Watu 92 Zimbabwe
vaticannews.va
Boti ya abiria ya Mbuya Nehanda ilizama katika Ziwa Kariba nchini Zimbabwe Jumanne, tarehe 11 Agosti 2026 na kusababisha vifo vya watu 92, wakiwemo watoto wadogo. Watu 77 waliweza kuokolewa. Boti hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka mji wa Kariba kwenda vijiji vya pembezoni mwa ziwa hilo.
SourcesVatican News
Read the source Full textDiscussion
Source-visible Catholic information · Catholic News · request membership. Comments are signed contributions from verified members; the record itself changes only through editorial review.
Loading discussion…