Catholic Life
Medjugorje: Uharibifu wa eneo la Ibada kwa Bikiria Maria
vaticannews.va
Ofisi ya Kiparokia ya Eneo la Ibada kwa Bikira Maria huko Medjugorje inatoa wito wa maombi,msamaha na kufunga baada ya madhabahu ya nje ya Kanisa la Mtakatifu Yakobo kuchomwa moto na kusababisha uharibifu mkubwa.Sanamu ya Bikira Maria pia iliharibiwa.Nafasi hizo zimesafishwa na zinafaa tena kwa ibada kulingana na taarifa kutoka ofisi hiyo hiyo.
SourcesVatican News
Read the source Full textDiscussion
Source-visible Catholic information · Catholic News · request membership. Comments are signed contributions from verified members; the record itself changes only through editorial review.
Loading discussion…